text stringlengths 2 8.91M |
|---|
jamhuri ya muungano wa tanzania wizara ya afya taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ugonjwa usiofahamika mkoa wa lindi dodoma ndugu wananchi tarehe wizara ya afya ilipokea taarifa toka kwa mganga mkuu mkoa wa lindi kuwa katika halmashauri ya ruangwa kumekuwepo na ugonjwa usio wa kawaida kutoka kituo cha afya mbekenyera ambapo ndani ya siku tarehe na july walipokea wagonjwa katika kituo hicho wakiwa na dalili za homa kuvuja damu hususan puani kichwa kuuma na mwili kuchoka sana |
wizara iliunda timu ya wataalam kutoka idara ya magonjwa ya dharura na majanga epidemiolojia mkemia mkuu wa serikali taasisi ya utafiti nimr chuo kikuu cha sayansi ya tiba muhimbili na hospitali ya taifa muhimbili waliungana na timu ya mkoa ikihusisha pia idara ya mifungo |
hadi kufikia tarehe julai kulikuwa na jumla ya wagonjwa kati yao wamefariki |
wagonjwa wawili waliokuwa wametengwa katika kituo cha afya mbekenyera wamepona na kuruhisiwa kurudi majumbani mwao |
wagonjwa wengine wamejitenga katika makazi yao ya muda kwenye kitongoji cha naungo kata ya nanjilinji wilayani kilwa |
mgonjwa mmoja ambaye amepona anaendelea kufanya shughuli zake kijijini mbekenyera |
vile vile watu waliotangamana na wagonjwa hao contacts wamekuwa wakifuatiliwa afya zao kila siku na hadi sasa hakuna aliyeonesha dalili zozote zinazofanana na za wagonjwa hao |
timu inaendelea na ufuatiliaji ndugu wananchi sampuli za awali zilizopimwa katika maabara ya taifa zimeonesha majibu hasi negative kwa ugonjwa wa ebola marburg na uviko |
tunaendelea kufanya uchunguzi zaidi wa kiepidemiolojia na kitabibu pia tunasubiri matokeo ya vipimo zaidi vya maabara ya magonjwa ya binadamu wanyama na mkemia mkuu wa serikali |
pia tunaendelea kufanya yafuatayo a |
kuendelea kutafuta watu wengine wenye dalili kama hizi ili kutambua mapema na kuwatenga ili kuzuia ugonjwa usisambae b |
kuwatambua watu wote waliotangamana contacts na wagonjwa wahisiwa marehemu na kuwafuatilia kwa siku c |
kutoa matibabu kwa wagonjwa waliobainika kuwa na dalili pia kuwashauri wajitenge wakati wakisubiria majibu ya vipimo vya maabara d |
kutoa elimu kwa jamii kwa kutumia vyombo mabalimbali vya habari e |
yamefanyika maandalizi ya dawa vifaa tiba na vifaa vya kujikinga na maambukizi kwa ajili ya kuwahudumia waathirika endapo watajitokeza tena taarifa ikikamilika wizara itatoa taarifa kwa umma |
ndugu wananchi pamoja na hayo wizara inatoa wito kwa wananchi kuwa watulivu wakati ikiendelea kulifanyika kazi suala hili |
aidha wananchi waendelee kutumia vituo vya kutolea huduma za afya pale wanapojisikia kuumwa |
imetolewa na mganga mkuu wa serikali jamhuri ya muungano wa tanzania mwongozo wa usimamizi wa fedha za uchangiaji wa huduma za afya katika vituo vya kutolea huduma za afya wa mwaka wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto s |
p dodoma yaliyomo muundo na majukumu ya utekelezaji wa mwongozo |
muundo wa uongozi na uendeshaji katika ngazi mbalimbali za kutolea huduma za afya |
ufafanuzi wa majukumu kwa ngazi mbalimbali katika utekelezaji wa mwongozo huu |
wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto |
ofisi ya rais tamisemi |
sekretarieti ya mkoa |
halmashauri |
bodi na kamati za usimamizi ngazi ya hospitali |
kamati za usimamizi ngazi za vituo vya afya na zahanati utaratibu wa ukusanyaji na udhibiti wa mapato |
utangulizi |
makisio ya mapato na matumizi ya kituo |
mapato |
stakabadhi ya wazi open receipt |
stakabadhi yenye kiwango kisichobadilika fixed fee receipts ffr |
kuandika stakabadhi |
rejista ya malipo |
misingi ya uhasibu sura ya tatu matumizi na utunzaji wa hesabu za fedha |
utangulizi |
mgawanyo wa fedha maeneo zitakapotumika na ukomo wa matumizi |
taratibu za kufanya malipo |
watia saini katika hundi |
kuchacha kwa hundi |
nyaraka muhimu katika kuidhinisha na kufanya malip |
utunzaji wa hesabu na taarifa za fedha |
utunzaji wa hesabu |
usuluhishi wa benki bank reconciliation |
kitabu cha kasma vote book |
udhibiti wa ndani i nternal controls |
usimamizi shirikishi na ukaguzi wa fedha |
usimamizi shirikishi wa kituo |
ukaguzi wa ndani |
ukaguzi wa nje sura ya nne ununuzi wa bidhaa huduma na utunzaji wa kumbukumbu fomu na |
taarifa ya madai ya mgonjwa wa kulazwa fomu na |
taarifa ya makusanyo na matumizi ya fedha za uchangiaji wa papo kwa papo flash report dibaji serikali kati ka jitihada za kuboresha utoaji wa huduma za afya nchini iliamua kutekeleza sera ya uchangiaji wa huduma za afya katika vituo vya kutolea huduma |
uamuzi huo ulibadilisha utaratibu wa utoaji huduma za afya zilizokuwa zinatolewa bila malipo katika ngazi zote za vituo vya kutolea huduma za afya nchini mara baada ya kupata uhuru |
serikali ilichukua uamuzi huo kutokana na kuyumba kwa uchumi wa dunia katika miaka ya kuongezeka kwa idadi ya watu na kuibuka kwa magonjwa mapya na yanayojirudia hali iliyosababis ha bajeti ya erikali kushin dwa kukidhi mahitaji na kugharimia huduma za afya hususan upatikanaji wa dawa vifaa vifaa tiba na vitendanishi |
serikali katika kukabili ana na ufinyu wa bajeti katika ekta ya afya iliendelea kutoa mchango wake kugharimia hud uma hizo kwa kuzingatia uwezo wa kibajeti kushirikisha wadau wa maendeleo pamoja na kuanzisha taratibu mbali mbali za uchangiaji wa gharama za huduma za afya |
mifumo hii ya uchangiaji ni pamoja na utaratibu wa malipo ya papo kwa papo wa mwaka mfuko wa afya ya jamii chf wa mwaka na mfuko wa taifa wa bima ya afya nhif wa mwaka lengo lilikuwa ni kuhakikisha mwananchi anapata huduma za afya zilizo bora wakati wote |
katika kuleta ufanisi wa utekelezaji wa mifumo hii ya uchangiaji serikali kupitia wizara ya afya maendeleo ya jami jinsia wazee na watoto imeendelea kuweka mkazo na kuhakikisha kuwa fedha zote zinazopatikana kutokana na uchangiaji zinasimamiwa kikamilifu ili kuleta tija katika vituo vya kutolea huduma |
hata hivyo serikali imetam bua kuwepo kwa changamoto mbali mbali katika matumizi stahiki ya fedha hizo za uchangiaji ambazo wakati mwingine kwa sehemu kubwa zimesababishwa na kutokuwepo kwa mwongozo mahususi unaotoa maelekezo ya matumizi stahiki ya fedha za uchangiaji wa huduma za afya |
hivyo timu za uendeshaji na kamati za usimamizi za vituo vya kutolea huduma za afya zimekuwa zikipanga matumizi ya fedha hizo katika shughuli ambazo hazileti tija katika uboreshaji wa huduma za afya katika vituo kinyume na nia ya serikali ya ubo reshaji wa huduma za afya utangulizi uchangiaji wa huduma za afya umetokana na athari za kudorora wa uchumi katika miaka ya hali ambayo ilisababisha kupanda kwa gharama za dawa viffa na vifaa tiba na hivyo kuwa moja ya sababu za bajeti ya serikali kuto kukidhi mahitaji halisi yaliyopo |
sababu nyingine ni kuwepo kwa ongezeko la idadi ya watu mwaka had mwaka wanachi wengi kupata mwamko wa kuhudhuria kutumia kufuati lia huduma za afya kinga tiba utengamao na tiba shufaa zinazotolewa katika vituo kuwepo kwa usugu wa vimelea ambavyo husababisha kutumia dawa mbadala na za mseto ambazo ni ghali zaid i kuwepo kwa magonjwa mapya yanayoibuka na yanayojirudia kutokana na mabadiliko ya tabia nchi pamoja na ongezeko la magonjwa yasiyo ya kuambukiza na hivyo kuifanya jamii kuwa na tatizo kubwa la magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza |
kutokana na pungufu katika utoaji wa huduma za afya serikali ilifanya utafiti mwaka juu ya uwezo na uhiari wananchi kuchangia gharama za huduma za afya |
matokeo ya utafiti huo yalionesha kuwa wananchi wako tayari kuchangia gharama za huduma za afya ili waweze kupata huduma bora |
kutokana na matokeo ya utafiti huo mwaka serikali ilianzisha utaratibu wa kushirikisha wananchi katika kuchangia gharama za huduma za afya kwa lengo la kupunguza pengo lililojitokeza kati ya mahitaji halisi ya utoaji wa hu duma za afya na upatikanaji wa fedha kulingana na uwezo wa serikali kiuchumi |
katika kutekeleza sera ya uchangiaji gharama za huduma za afya katika vituo vya umma serikali iliandaa mwongozo wa uchangia ji mwaka |
pamoja na mambo mengine mwongozo huu liweka viwango vya uchangiaji gharama za huduma za afya |
fedha hizo zinachangia kupunguza ufinyu wa bajeti ya matumizi ya kawaida inayotolewa na serikali kwa ajili ya kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa kuzingatia mipango inayoandaliwa na kuteke lezwa na wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na atoto ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa or tamisemi hususani katika mikoa na mamlaka za serikali za mitaa |
aidha katika kuhakikisha kuwa mwongozo huu natekelezwa kwa ufanisi serikali iliweka utaratibu wa msamaha kwa makundi maalum katika kugharamia huduma za afya pindi wanapohitaji huduma hizo kutoka katika vituo vya kutolea hud uma za afya |
maandalizi ya mwongozo huu yamezingatia matamko ya sera ya afya ya mwaka sera wazee ya mwaka awamu ya pili ya mpango wa taifa wa maendeleo wa miaka mitano |
sheria ya fedha ya mamlaka za serikali za mitaa na |
kama ilivyorekebishwa mwaka |
kanuni za usimamizi wa fedha katika mamlaka za serikali za mitaa local authorities financial memorandum lafm kama zilivyorekebishwa mwaka sheria ya nunuzi ya mma ya mwaka kama ilivyorekebishwa mwaka |
na maelekezo mengine ya serikali |
malengo ahususi ya mw ongozo huu ni kama ifuatavy o |
kuongeza ufanisi katika makusanyo na matumizi ya fedha za uchangiaji huduma za afya na hivyo kuboresha huduma za fya |
kuongeza ufanisi katika uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za uchangiaji huduma za afya |
kuongeza uelewa kwa watoa huduma katika us imamizi wa fedha za uchangiaji wa huduma za afya |
mwongozo huu unalenga kutoa maelekezo na kufafanua taratibu zinazotakiwa kuzingatiwa katika usimamizi wa fedha za uchangiaji wa huduma za afya katika vituo vya kutolea huduma za afya |
aidha maudhui ya mw ongozo huu ni kama ifuatavyo i |
muundo na majukumu ya utekelezaji wa wongozo ii |
utarat ibu wa ukusanyaji na udhibiti wa apato iii |
matumizi utunzaji wa hesabu fedha iv |
ununuzi bidhaa uduma utunzaji kumbukumbu v |
utoaji aarifa uchangiaji sura ya kwanza muundo na majukumu ya utekelezaji wa mwongozo |
muundo wa uongozi na endeshaji katika ngazi balimbali za kutolea huduma za afya katika sekta ya afya muundo wa uongozi na uendeshaji wa utaratibu wa usimamizi wa fedha za kuchangia gharama za huduma za afya uko katika ngazi mbalimbali kama inavyoonekana kwenye kiambatishi na |
mwongozo huu umeainisha majukumu ya viongozi na watendaji wakuu katika ngazi zote kuanzia kwenye vituo vya kutolea huduma hadi ngazi ya wizara |
majukumu yaliyoainishwa katika mw ongozo huu ni yale yenye uhusiano wa moja kwa moja na usimamizi na utekelezaji wa sera ya uchangiaji wa huduma za afya |
ufafanuzi wa majukumu kwa ngazi mbalimbali katika utekelezaji wa mwongozo huu |
wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na wato to majukumu wizara katika utekelezaji wa wongozo huu ni kama ifuatavyo i |
kuandaa na kutoa mwongozo wa kisera kuhusu masual ya ugharamiaji huduma za afya ii |
kupanga viwango na maeneo ya kuchangia gharama za huduma za fya kwa kuzingatia miongozo ya itaifa |
iii |
kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa mwongozo wa usimamizi wa fedha za uchangiaji iv |
kufanya mapitio na marekebisho ya mwongozo kila baada ya miaka mitatu au wakati wow ote inapolazimika kufanya hivyo v |
kupokea na kutathmini taarifa za mapato na matumi zi ya fedha za hospitali zilizo chini ya wizara vi |
kufuatilia na kuhakikisha kuwa vituo vya kutolea huduma za afya vinato huduma bora za afya kwa jamii na vii |
kuandaa vikao kwa kushirikisha wadau mbalimbali vya kujadili utekelezaji wa mwongozo huu |
ofisi ya ais tamisemi majukumu ya ofisi ya rais tamisemi katika utekelezaji wa wongozo huu ni kama ifuatavyo i |
kusimamia na kuratibu utekelezaji wa mwongozo huu katika ngazi ya tawala za mikoa na serikali za mitaa ii |
kuchukua hatua muafaka enye lengo la kuhakikisha kuwa wongozo huu unatekelezwa ipas avyo katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya vilivyo katika ngazi za mikoa na maml aka ya serikali za mitaa nchini iii |
kupokea na kutathmini taarifa za mapato na matumizi ya fedha kutoka kwa vituo vya kutolea hudu ma ilivyo chini ya or tamisemi |
Swahili Corpus Dataset
A large-scale Swahili text corpus for language model pretraining and NLP research.
The Swahili Corpus Dataset is a large-scale collection of Swahili (Kiswahili) text designed to support Natural Language Processing (NLP) research and the development of large language models (LLMs) for a low-resource African language.
This dataset contains approximately 1.69 million Swahili text samples aggregated from public and official sources. It is suitable for LLM pretraining, continual pretraining, tokenizer training, embeddings, fine-tuning, and Retrieval-Augmented Generation (RAG).
This Hugging Face release is a curated and unified version derived from the original Swahili Corpus published on Mendeley Data by Noel Masasi and Bernard Masua (2024).
Dataset Summary
The Swahili Corpus Dataset aggregates real-world Swahili text from multiple thematic domains, including government, health, education, agriculture, law, and news. The corpus is unannotated and optimized for unsupervised learning, making it ideal for training and adapting foundation language models to Kiswahili.
The goal of this dataset is to strengthen Swahili representation in modern NLP systems and to support African language AI research.
Loading the Dataset
You can load the dataset using 🤗 Datasets:
from datasets import load_dataset
ds = load_dataset("ngusadeep/Swahili-Corpus-Dataset", split="train")
# Access first example
print(ds[0]["text"])
Dataset Structure
Data Fields
Each example contains a single field:
| Field | Type | Description |
|---|---|---|
text |
string | Raw Swahili text sample |
Example
{
"text": "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa taarifa rasmi kuhusu maendeleo ya sekta ya afya..."
}
There are no labels, annotations, or metadata fields, making this dataset suitable for large-scale unsupervised training.
Original Corpus Categories
The original Swahili Corpus was organized into the following thematic categories, which were merged during preprocessing:
- AFYA – Health
- BIASHARA – Business & Industry
- BUNGE – Parliamentary records
- DINI – Religion
- ELIMU – Education
- HABARI – News
- KILIMO – Agriculture
- MITANDAO – Social Media
- MASHIRIKA YA KIRAIA – Civil Society / NGOs
- SERIKALI – Government
- SHERIA – Legal documents
- SIASA – Politics
A combined corpus file is also provided in the original release.
Use Cases
- LLM Pretraining (LLaMA, Gemma, Qwen, Mistral)
- Continual pretraining for Swahili adaptation
- Tokenizer training for Kiswahili
- Text generation
- Embedding models
- RAG (Retrieval-Augmented Generation)
- Linguistic and computational language research
- Low-resource language AI development
Data Collection & Processing (Original Authors)
According to the original publication, the dataset was created through the following steps:
- Identification of Swahili content categories
- Collection of documents from public and official sources
- Downloading files in PDF and DOCX formats
- Text extraction using Python scripts
- Cleaning, normalization, and merging
- Generation of corpus statistics
Dataset Statistics
- Total samples: ~1,690,000
- Splits:
trainonly - Language: Swahili
- Annotation: None (raw text)
- Domain coverage: Government, news, health, education, agriculture, law, politics
Limitations
- Dataset is unannotated
- May contain OCR artifacts or formatting noise
- Domain bias toward formal and government-related text
- Not guaranteed to be free of sensitive or outdated information
Users are encouraged to apply additional cleaning, filtering, or deduplication for production use.
Citation
If you use this dataset, please cite both the Hugging Face release and the original source.
Hugging Face Release
@dataset{ngusadeep_swahili_corpus_2025,
title = {Swahili Corpus Dataset},
author = {Ngusa, Samwel},
year = {2025},
publisher = {Hugging Face},
url = {https://huggingface.co/datasets/ngusadeep/Swahili-Corpus-Dataset},
note = {Curated, processed, and released on Hugging Face}
}
Original Dataset
@dataset{masasi2024swahili,
title = {Swahili Corpus},
author = {Masasi, Noel and Masua, Bernard},
year = {2024},
publisher = {Mendeley Data},
version = {2},
doi = {10.17632/d4yhn5b9n6.2}
}
License
- Hugging Face Version: Apache License 2.0
- Original Dataset: Creative Commons Attribution 4.0 (CC BY 4.0)
Acknowledgments
This dataset is based on the Swahili Corpus originally created and published by Noel Masasi and Bernard Masua (2024) on Mendeley Data.
The Hugging Face release was curated, processed, unified, and documented by Samwel Ngusa (ngusadeep) to support large-scale NLP and LLM pretraining for Kiswahili.
Maintainer
- Samwel Ngusa (
ngusadeep)
For questions, issues, or improvements, please open a discussion on the dataset page: https://huggingface.co/datasets/ngusadeep/Swahili-Corpus-Dataset
🇹🇿 Advancing Swahili NLP and African Language AI
- Downloads last month
- 18